Search

82 results for Berdina Majinge :

  1. Abiria wapewa mbinu kuepuka kulanguliwa tiketi mabasi mkoani

    Wamiliki wa mabasi mkoani Iringa wametakiwa kutumia mfumo wa tiketi za mtandao ili kudhibiti matapeli na vishoka ambao wamekuwa wakifanya ulanguzi wa tiketi na kupandisha nauli kiholela kinyume...

  2. Profesa Mbarawa aridhishwa na ujenzi uwanja wa ndege Iringa

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa ameeleza kuridhishwa na kasi ya ukarabati na upanuzi wa uwanja wa ndege wa Iringam akisema utafungua fursa za kibiashara na Kanda ya Kusini...

  3. Jumuiya ya Wazazi CCM yataka kuongezwa ulinzi watoto wa kiume

    Akizungumza katika kikao cha Baraza Kuu la jumuiya ya mkoa huo kilichofanyika mjini Iringa, Katibu wa Siasa na Oganaizasheni Jumuiya ya Wazazi Makao Makuu, Said King'eng'ena amesema vitendo...

  4. Aliyeshauriwa akimbaka dada yake kupata utajiri afungwa miaka 30 jela

    Mkazi wa Kijiji cha Kising’a wilayani Kilolo, Frank Kigomba (31) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kulipa fidia ya Sh500,000 kwa kosa la kumbaka dada yake wa tumbo moja mwenye umri wa miaka 15.

  5. Polisi yawapa mbinu kina baba wanaopigwa, kunyimwa unyumba

    Kamanda Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Mkoani Iringa, Lydia Sospeter amesema wapo baadhi ya wanaume wanapitia madhira ya ukatili katika ndoa kama vipigo na kunyimwa unyumba na wenza wao lakini...

  6. Familia za vigogo 12 kuchunguzwa

    Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango ameagiza kushughulikiwa kwa watu zikiwamo familia 12 za viongozi waliovamia na kuchepusha maji Bonde la Ihefu.

  7. Dk Mpango ataka waandishi wawezeshwe kuandika mazingira

    Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema kutokana na taarifa alizopata kuhusu uharibifu wa mazingira katika bonde la Ihefu, kuna haja ya waandishi wa habari kuwezeshwa kuanbdika habari za mazingira.

  8. Mto Ruaha wakauka siku 130

    Imeelezwa kuwa mto Ruaha Mkuu umekauka kwa takribani siku 130 na kusababisha madhara kwa wanyama katika hifadhi ya Taifa ya Ruaha, kutokana na shughuli za kibinadamu kando ya mto huo.

  9. Kilio cha mbolea ya ruzuku chashika kasi

    Serikali imetakiwa kutazama upya mfumo wa huduma za usambazaji wa mbolea ya ruzuku kwa wakulima nchini kutokana na changamoto lukuki, ikiwamo uhaba wa vituo.

  10. Mlinzi wa chuo akamatwa akituhumiwa kuiba gari

    Inadaiwa kuwa mlinzi huyo wa Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha (Rucu), aliondoka na gari hilo likiwa kwenye eeo la maegesho na alikutwa nalo wilayani Kilolo.

Page 1 of 9

Next